Rais Samia amewatunuku Kamisheni Maafisa Wanafunzi 118.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan, tarehe 22 Novemba, 2021 amewatunuku Kamisheni Maafisa Wanafunzi 118 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kundi la 02/18 wa Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na kundi la 08/18 Jeshi la Anga, katika sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Mafunzo ya Jeshi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed